Wazanzibar wahamasishwa kuwasaidia watoto !


Katibu mkuu wa jumuiya   ya   kusaidia watoto mayatima Muzdalifah Faruk  Hamad   Khamis amesema licha ya kujitokeza wafadhili kutoka nchi mbalimbali za nje kujitolea kusaidia misaada ya kibinadaamu lakini bado jamii ya kizanzibar yenye uwezo hawana utamaduni wa kutoa misaada yao katika taasisi zinazoshuhulikia watoto mayatima.


Akizungumza katika uzinduzi wa mipango ya ufadhili  wa ndani  kuchangia  watoto yatima  wa jumuiya ya  Muzdalifah  amesema misaada  mingi ya  kibinadamu  inayotolewa inatoka nchi za nje  hali ianyopelekea baadhi ya wafadhili kushundwa kuendelea kutoa misaada kutokana na kuongezeka wmahitaji ya mayatima hapa nchini.



Previous
Next Post »

Ads