Seriakli ya wilaya ya magharib A imechukua hatua ya
kuwavunjia watu misingi ya nyumba
wanaojenga aktika ameneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo katika eneo la
Mfenesini selem.
Baadhi ya wananchi wakitoa hisia zao baada ya zoezi hilo
kukamilika wamesema wameridhishwa na hatua iliyochulkuliwa na seriakli ya mkoa
huo kutokana na maeneo hayo kuavmiwa na baadhi ay watu ambayo hapo awali
walikua wanatumia kwa shughuli za kilimo na kupelekea kuharibiwa kwa vipando
vyao.
Nae kaimu wa
mkurugenzi manispaa ya magahrib A Ali Abdallah Natepe amesema hatua hiyo imekuja kutokana na ukaidi wa
wananchi wenyewe kuamua kufanya shughuli za ujenzi katika eneo hilo
Mkuu wa wilaya hiyo Mwinyiusi Abdallah Hassan amesema eneo
hilo lipo katika kazi za kilimo lakin anasikitishwa na baadhi ya wananachi
kupinga agizo hilo nakusema bado baadhi
ya wananchi hawataki kutii sheria bila ya shuruti.
Hata hivyo amesema tatizo hilo lipo katika maeneo
mbalimbali ya baraza la manispaa ya
magharib A akiyajata baadhi ya ameneo ambayo yatawajibika kwa kuvunjwa
kutokana na sababu tafauti ni Kinuni,
Chuwini katika shamba la Serikali, mgeni hendi, shelikia jiwe fusi. Aidha amewataka wananchi wafate taratibu zote za sheria kabla wanapoamua kutaka kujenga nakuacha kuchukua sheria mikononi .
Mkuu wa mkoa mjini magharib Ayuob Muhammed Mahmoud amesema serikali ya mapinduzi ya Zanzibar itachukua hatua ya kuyazibiti maeneo maalumu yaliyotengwa kwa ajili ya mpango maalumu kwa kuwavunjia watu waliojenga katika maeneo hayo.
Akizungumza na
waandishi wa habri kuhusu uendelezaji wa
miradi ya mAendeleo inayotekelezwa
katika mkoa wa mjini magharib katika
vijiji vya Fumba na nyamazi Dimani hapo Ofisini kwake vuga amesema serikali
haiku yachukua maeneo yote ambayo yamepangwa katika mpango maaalum imejaribu
kuangalia eneo lilitengwa maalumu kwa ajili ya watu wa funya kazi za ujenzi.
Akifafaua kuhusu uimarishaji wa eneo la darajani mkuu wa mkoa amesema seriakli inaendelea na maandalizi na hapo
baadae taaasisi husika itatoa taarifa maalumu kuhus kuanza kwa ujenzi katika
eneo hilo.





ConversionConversion EmoticonEmoticon