![]() |
| Salvador Antonia Messa |
Taarifa iliyotolewa na waziri wa nchi afisi ya makumu wa pili wa
rais Mohammed Aboud Messa atapokelwa na mwenyeji wake makamu wa pili wa rais wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Idd katika uwanja wandege wa Zanzibar.
Akiwa nchini atafanya mazungumzo na rais wa Zanzibar Dk Ali
Mohamed Sheini na baadae kufanya mazungunzo na makamu wa pili wa rais balozi
Idd.
Cuba ni miongoni mwa nchi
zinazoisaidia Zanzibar hasa katika sekta afya ambapo nchi hiyo imechukua jukumu
la kuwasomesha vijana kadhaa katika fani ya udaktari wa bindamau.| Hapa akiwa na makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Samia Hassan Suluhu |


ConversionConversion EmoticonEmoticon