…Muonekano wa nyuma wa gari hilo.
Inadaiwa kuwa mchezaji huyo analipwa kiasi cha €35,600 kutokana na mkataba wake wa kuichezea timu ya Genk ambao utamalizika mwaka 2020.
Kwa sasa Samatta ameonekana kuwa miongoni mwa wachezaji wa kutegemewa kwenye timu ya KRC Genk ambayo inashiriki kwenye michuano ya Europa League pamoja na ligi kuu nchini Ubelgiji japo amekuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili akiuguza majeraha
|
ConversionConversion EmoticonEmoticon