Hawa ndio chipukizi wa Afrika, Raymond atachuana nao kwenye MTV MAMA


Kijana wa WCB, Raymond amefanikiwa kutajwa kwenye tuzo za mwaka huu za MTV MAMA. Anawania kipengele cha msanii bora anayechipukia, wao wanakiita Best Breakthrough Act.
ctyazkyxyaacgg2
Anaonesha umwamba na chipukizi wengine wa Afrika. Wafahamu hapo chini pamoja na nyimbo zao.
Simi – Nigeria
ctya5x4waaaxu_y
Nathi – Afrika Kusini

Nasty C – Afrika Kusini
ctyaru4w8aap4_v
Franko – Cameroon
ctyalgjweaedssb


Falz – Nigeria
ctyafomxyaapfzf
Emtee – Afrika Kusini
ctyazktwaaavfxx
Previous
Next Post »

Ads