Kijana wa WCB, Raymond amefanikiwa kutajwa kwenye tuzo za mwaka huu za MTV MAMA. Anawania kipengele cha msanii bora anayechipukia, wao wanakiita Best Breakthrough Act.

Anaonesha umwamba na chipukizi wengine wa Afrika. Wafahamu hapo chini pamoja na nyimbo zao.
Simi – Nigeria

Nasty C – Afrika Kusini

Franko – Cameroon

Falz – Nigeria

Emtee – Afrika Kusini



ConversionConversion EmoticonEmoticon