Kwenye stori zilizonifikia leo ni pamoja na hii iliyotangazwa na Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Mh January Makamba kuwa kuanzia mwakani (2017) kila Mwanafunzi wa darasa la kwanza akiripoti atatakiwa kuja na mche wa mti.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

ConversionConversion EmoticonEmoticon